ligi kuu ya soka epl

IQNA

IQNA – Wakati ustadi wake wa kuchezesha mpira unawatia mshangao mabeki uwanjani, Amad Diallowinga wa timu ya Ligi Kuu ya Uingereza, EPL, Manchester United anabainisha kuwa chanzo chake cha kweli cha nguvu na uthabiti kinatokana na imani yake.
Habari ID: 3481962    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/20

IQNA – Pep Guardiola kocha wa timu ya Ligi Kuu ya Soka Uingereza (EPL), Manchester City, ameeleza hadharani uungaji mkono wake kwa wananchi wa Palestina, akielekeza macho ya ulimwengu kwenye janga kubwa la kibinadamu linaloikumba Gaza, wakati wa tukio la hadhara lililofanyika hivi karibuni.
Habari ID: 3481871    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/30

Wanamichezo Waislamu
LONDON (IQNA) - Aston Villa imekuwa klabu ya tano ya Ligi Kuu ya Soka Uingereza (EPL) kusaini mkataba wa kuwalinda wanamichezo wa Kiislamu.
Habari ID: 3477486    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/24

TEHRAN–(IQNA) -  Ligi Kuu ya Soko Uingereza(England)-EPL-, imewaruhusu wachezaji Waislamu kufungua suamu ya Mwezi Mtukufu waRamadhani kati kati ya mechi.
Habari ID: 3473862    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/30

TEHRAN (IQNA)- Wiki za hivi karibuni nchini Uingereza, mshambuliaji Muislamu na Mwarabu wa Timu ya Soka ya Liverpool katika Ligi Kuu ya maarufu kama EPL amevuma kwa umahiri na dini yake.
Habari ID: 3471405    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/26